Mwalimu Mkuu Mpya (New Headteacher) Kaloleni Primary School Ms. Rachel Kiomange supervising the finishing activities at the kitchen |
KATA YA KALOLENI - MANISPAA YA MOSHI
Kata ya Kaloleni ni mojawapo ya Kata 21 za Halmashauri ya Manispaa ya Moshi ambayo ina mitaa miwili: Kaloleni na Kalimani. Ni kata ya pembezoni ambayo bado ni changa lakini iliyo na changamoto nyingi ambazo ni vyema kila mtu azitambue. Ukiipitia blog hii utaona mengi yanayofanyika na kutokea katika Kata hii hasa miradi na kazi mbalimbali za kiserikali zinazoendelea Kaloleni. Usiondoke bila kuweka maoni chini ya habari uliyosoma.
Tuesday, July 30, 2013
MWALIMU MKUU MPYA KALOLENI
UJENZI WA JIKO UNAENDELEA KALOLENI (KITCHEN CONSTRUCTION)
Sehemu ya nyuma ya jiko (Back view) |
Sehemu ya sakafu na ukuta ndani jikoni kuelekea stoo (Inside floor & walls) |
Sehemu ya kuta za ndani kwenye stoo (Inside walls in the store area) |
Eneo la stoo (Store area) |
Mpishi akiwa jikoni (The cook in the kitchen) sakafu imekamilika bado jiko litakarabatiwa karibuni kubana matumizi ya kuni |
Mpishi jikoni (The cook in the kitchen) |
Tuesday, October 30, 2012
JIKO LAKARIBIA KUKAMILIKA KALOLENI SHULE YA MSINGI
Sasa shule ya msingi kaloleni angalau ina mahali pazuri kwa kuandalia maakuli ya wanafunzi. Hili ndilo jiko lenyewe:
WAGENI WAONDOKA BAADA YA KAZI KUBWA KALOLENI SHULE YA MSINGI
Baada ya kushirikiana na wenyeji wao, wageni waliofika shule ya Msingi Kaloleni waliondoka kwa kuagwa rasmi kwa tafrija fupi shuleni:
WAGENI WATEMBELEA WAKAZI MITAA YA KALOLENI
Ikizingatiwa kuwa urafiki kati ya Shule ya Msingi Kaloleni na Chrysalis School ya Marekani ni wa muda mrefu sasa, wageni walijisikia kutembea na kujionea wenyewe ni jinsi gani wananchi na wakazi wa Kaloleni wanavyoishi. Walitaka kujua je wanafunzi wanaosoma shule wanayoisaidia wanatoka katika makazi na maisha ya aina gani? Walipofika mtaani waliweza kujichanganya na kushiriki katika kazi walizokuta wenyeji wao wakizifanya:
JIKO LA SHULE ULIVOENDELEA SHULE YA MSINGI KALOLENI
Kwa juhudi za binafsi za uongozi wa Kamati ya Shule baada ya wageni kuondoka, kazi ya ujenzi wa jiko imeendelea na kwa sasa imefikia hatua za mwisho kama utakavyoona:
Subscribe to:
Posts (Atom)